Kuna siku nilipeleka koti langu la suti kwa fundi cherehani anirekebishie mfuko ulikuwa umefumuka.Mara jamaa akageuza koti kwa ndani na kisha akaanza kulifumua fumua badala ya kuushona mfuko wenyewe!!!Nikahamaki nikamwambia, “Mzee unapaswa kushona, sio kufumua halafu nina haraka ujue. Mbona ni kazi rahisi tu ya faster.” Lakini yeye alijibu tu, “NAJUA”. Hilo jibu lilinigusa na sikuweza
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed